Monday, January 12, 2009

Westham watosa dau la Man City

West Ham kwa mara ya pili wametosa dau la paundi milioni 9 za uingereza kwa ajili ya kumuuza staika wao Graic Bellamy kwenda Manchester City. City, yenye kumilikiwa na matajiri waarabu wa Abu Dhabi United Group iko katika mikakati ya kuimarisha kikosi chao ambacho mwenendo wake katika ligi hauvutii. City pia wanamuwania Roque Santa Cruz wa Blackburn Rovers.

No comments: