Huko Italia katika ligi ya Seria A, David Beckam, leo anatarajia kuanzia benchi wakati timu yake ya AC Milan itakapokwaana ugenini na AS Roma.
Wakati AC wakicheza leo, mahasimu wao wa Milan, Inter Milan, jana wanusurika kula kichapo toka kwa Cagliari baada ya Zlatan Ibrahimovic kusawazisha bao katika dakika ya 77 baada ya Robert kuwafungia Cagliari katika dakika ya 65. Huko Genoa nako, Genoa waliibuka kidedea baada ya kuwaliza Torino bao 3-0.
Mechi za leo itakuwa kama hivi:
Bologna : Chievo Verona
Fiorentina : Lecce
Juventus : Siena
Napoli : Catania
Palermo : Atalanta
Reggina : Lazio
Udinese : Sampdoria
As Roma : AC Milan
Kwa msimamo kamili wa ligi ya Seria A, kong'oli hapa chini:
http://soccernet.espn.go.com/tables?league=ita.1&season=2008&cc=4716
Sunday, January 11, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment