Monday, January 12, 2009

Barca chupuchupu

Barcelona jana waliponea chupuchupu kudraw na timu ya mkiani Osasuna baada ya Messi kufunga goli la ushindi dakika ya 85 ya mchezo. Barca walianza kufunga kupitia kwa striker wao Eto'o kabla Osa hawajasawazisha na kuongeza la pili kupitia kwa Flano na Pandiani. Barca walisawazisha goli la pili kupitia kwa Xavi dakika ya 80 kabla M essi hajaipatia ushindi.
Naye Raul jana alifunga goli lake la 500 baada ya kuifungia Real Madrid goli moja huku Arjen Robben na Sergio Ramos wakifunga kuihakikishia Madrid ushindi wa goli 3-0 ugenini dhidi ya Real Mallorca.
Matokeo mengine jana ilikuwa kama hivi:
Msimamo wa Spanisha Primera uko kama hivi:

1 comment:

Anonymous said...

top [url=http://www.c-online-casino.co.uk/]casino online[/url] coincide the latest [url=http://www.casinolasvegass.com/]casino online[/url] autonomous no set aside hand-out at the leading [url=http://www.baywatchcasino.com/]www.baywatchcasino.com
[/url].