Tuesday, January 13, 2009

Ni Man Yu - Torres

Striker mkali wa wazee wa the Kop; Fernando Torres, Liverpool ana amini kuwa mashetabi wekundu wa Manchesta wanao uwezo mkubwa wa kuchukua ubingwa kwa msimu mwingine.
Torres alisema hayo baada ya Man kuonyesha kiwango cha juu na kuisambaratisha Chelsea kwa goli 3-0!
Man yu wako katika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa ligi lakini wana mechi 2 mkononi, dhidi ya Wigan na Bolton, ukilinganisha na vinara Liver. Man wakishinda viporo vyao watakuwa wanaongoza kwa point 1.
Torres anaamini kuwa mechi kati yao na Man Yu Machi 14 ndo itakayoamua bingwa.

No comments: