Monday, January 12, 2009

Huu ndo uzalendo

Waarabu wa Oman juzi usiku waliingia mitaani kusherehekea kufuzu kucheza nusu fainali ya kombe la Arabia Gulf Cup. Gari karibu zote nchi nzima, at least zina sticker au bendera ya timu ya taifa toka mashindano hayajaanza. Kama picha invojieleza, watu nao wamejipamba kwa rangi za bendera ya nchi yao. Laiti kama bongo tungekuwa na uzalendo wa hivi......!

No comments: