Sunday, January 11, 2009

Kili Starz nje Cecafa

Mpira umekwisha na Kili stars wamechapwa bao 2-1. Dan Mrwanda ndo kaifungia Kili bao la kufuta aibu. Salum Swedi amepewa kadi nyekundu yenye utatanishi. Hivo Kili wanasubiri atakae fungwa kwenye mechi kati ya wenyeji Uganda na Burundi. Kila la Heri Kili kwenye kuwania hiyo dola 10,000. Kilimanjaro stars iko nyuma kwa bao 2-0 dhidi ya timu ya Harambee stars ya kenya. Kipindi ni cha kwanza.

No comments: