Monday, January 12, 2009

Becks akipiga Milan ikitoka draw

David Beckam jana alikipiga kwa dakika 89 huku timu yake ya AC Milan ikiambulia draw ya goli 2-2 na AS Roma. Magoli ya AS Roma yalifungwa na Mirko Vucinic katika dakika za 22 na 72 huku mshambuliaji teeneger wa AC Milan, Pato akiifungia Milan magoli yote mawili kwenye dakika za 48 na 53.
Huko Turin, Juventus iliifunga kwa taabu Siena Goli 1-0, goli la Juve likifungwa na Captain wake Allesandro Del Piero.
Matoke kamili ya SEria A ilikuwa kama hivi:
Bologna 1:1 Chievo Verona
Fiorentina 1:2 Lecce
Juventus 1:0 Siena
Napoli 1:0 Catania
Palermo 3:2 Atalanta Regina 2:3 Lazio
Udinese 1:1 Sampdoria As Roma 2:2 AC Milan
Msimamo wa ligi ya Seria A uko kama hivi:

No comments: